Leo ni siku ya Mambo ya Nje bungeni jijini Dodoma

DODOMA-Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo alivyowasili katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma tayari kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026.
Pia awapokea Mabalozi na Wakuu wa Taasisi za Kimataifa zinazowakioisha nchi zao nchini maalum kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Wizara jijjini Dodoma

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news