Magazeti leo Mei 10,2025

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (Mb.), amekipongeza Chuo Kikuu Mzumbe kwa kuwatengenezea mazingira wanafunzi wa chuo hicho yanayohamasisha ubunifu, kujifunza mbinu za Ujasiriamali, uwekezaji na Biashara wakati wakiendelea na masomo yao chuoni hapo na hivyo kuwaandaa vyema kujiajiri na kutatua changamoto ya ajira na kuwawezesha kuchangia ukuaji wa uchumi wa Taifa
Mhe. Kigahe ameyasema hayo wakati akimuwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo (Mb.), katika maadhimisho ya siku ya Chuo Kikuu Mzumbe na kambi ya Ujasiriamali iliyofanyika Mei 8,2025 Kampasi Kuu Morogoro na kuwataka wanafunzi hao kuitumia fursa hiyo vizuri kwa kufanya bunifu zinazoendana na kukua kwa teknolojia zitakazowezesha kutatua changamoto mbalimbali kwenye jamii na kuiwezesha Tanzania ya viwanda inayojitegemea kwa maarifa na teknolojia.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news