Magazeti leo Mei 21,2025

DAR-Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), imezitaka kampuni za Bima nchini kuwa waaaminifu kwa kufanya kazi kwa weledi na kulipa fidia kwa wateja wao, ili kujenga imani kwa maendeleo ya Taifa.
Naibu Kamishina wa Bima Tanzania, Khadija Said ameyasema hayo jana jijini Dar es Salaam kwenye uzinduzi wa Akiba Flex Plan ya Jubilee Life Insuarance na kuongezea kuwa wasikengeuke taratibu walizowekewa na mamlaka hiyo.

Kwa upande wake Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jubilee Insuarance, Helena Mzena amesema bima hiyo itamsaidia Mtanzania kumpa ulinzi, utu na amani hivyo kufanya bima ya maisha kuwa rahisi na kutoa mafao yake pale atakapoyahitaji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news