Nandy aachana na msanii Yammi kupitia TheAfricanPrincess

DAR-Msanii wa muziki wa Bongo fleva, Faustina Mfinanga (Nandy) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Label ya Muziki ya TheAfricanPrincess amethibitisha rasmi kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa ameachana na Msanii wake Yammi aliyekuwa chini ya label hiyo, baada ya kumaliza mkataba wake kwa makubaliano ya pande mbili.
Nandy alimtambulisha Yammi kama msanii wake wa kwanza kwenye label hiyo Januari, 2023 hivyo kusimamia kazi zake za muziki na kuhudumu kwa kipindi cha miaka miwili.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news