Rais Dkt.Mwinyi akabidhi Ripoti ya CAG kwa Spika wa Baraza la Wawakilishi

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemkabidhi Spika wa Baraza la Wawakilishi, Mhe. Zubeir Ali Maulid, Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa Kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/2024 ulioishia Juni 2024.
Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika Ikulu, ambapo Spika alifika rasmi kupokea vitabu vya ripoti hiyo, ambayo hatimaye itawasilishwa katika Baraza la Wawakilishi kwa hatua zaidi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news