Rais Dkt.Mwinyi ashiriki maziko ya Hayati Cleopa David Msuya

KILIMANJARO-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki maziko ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Cleopa David Msuya yaliyofanyika nyumbani kwake Kijiji cha Chomvu, Usangi wilayani Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro leo Mei 13, 2025.
Maziko hayo ya Kitaifa yameongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news