Wazimbabwe wafika TMA kuchota ujuzi huduma za hali ya hewa

DAR-Mei 20,2025 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea ugeni kutoka Idara ya Huduma za Hali ya Hewa ya Zimbabwe (MSD), waliokuja nchini kwa ziara ya mafunzo ili kujifunza kuhusu masuala mbalimbali ya huduma za hali ya hewa.
Ugeni huo umeichagua TMA kwa kutambua mchango na mafanikio makubwa ya mamlaka hiyo katika kuimarisha huduma za hali ya hewa, si tu kwa Tanzania bali pia kwa bara la Afrika kwa ujumla.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news