Picha:Yaliyojiri katika mafunzo kwa Mawakili wa Serikali jijini Arusha

Wakili Mkuu wa Serikali,Dkt. Ally Possi akimsikiliza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Paramagamba Kabudi wakati akichangia mada kuhusu kuendesha majadiliano ya kimkakati wakati wa Mafunzo kwa Mawakili wa Serikali yanayofanyika jijini Arusha.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof.Palamagamba Kabudi akichangia mada kuhusu kuendesha majadiliano ya kimkakati wakati wa Mafunzo kwa Mawakili wa Serikali yanayofanyika jijini Arusha.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Hamza Johari akitoa mada kuhusu kuendesha majadiliano ya kimkakati wakati wa Mafunzo kwa Mawakili wa Serikali yanayofanyika jijini Arusha.
Naibu Wakili Mkuu wa Serikali,Bi. Alice Mtulo akimsikiliza Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza Johari wakati akitoa mada kuhusu kuendesha majadiliano ya kimkakati wakati wa Mafunzo kwa Mawakili wa Serikali yanayofanyika Jijini Arusha.
Jaji wa Mahakama ya Rufani na Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akichangia mada kuhusu kuendesha majadiliano ya kimkakati wakati wa Mafunzo kwa Mawakili wa Serikali yanayofanyika jijini Arusha.
Gavana mstaafu wa Benki Kuu ya Tanzania, Mhe. Prof. Florence Luoga akichangia mada kuhusu kuendesha majadiliano ya kimkakati wakati wa Mafunzo kwa Mawakili wa Serikali yanayofanyika jijini Arusha.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news