PSG yatwaa Ubingwa wa UEFA 2025

MUNICH-Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ya Ufaransa imetwaa Ubingwa wa Ligi ya Mabingwa barani Ulaya (UEFA) kwa mwaka 2025 chini ya Kocha Mkuu,Luis Enrique.
Ushindi huo waliupata baada ya kuifunga Inter Milan mabao 5-0 katika mchezo wa fainali ulipigwa Mei 31, 2025 katika uwanja wa Allianz Arena jijini Munich,Ujerumani.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news