Pyramids FC yatwaa Ubingwa wa Klabu Bingwa barani Afrika,Mamelodi Sundowns hoi

CAIRO-Klabu ya Pyramids FC imeandika historia baada ya kutwaa taji la Klabu Bingwa barani Afrika (CAFCL), msimu wa 2024/25 kwa kuifunga Mamelodi Sundowns mabao 2-1 (3-2).
Katika mchezo huo uliochezwa kwenye dimba la June 30 nchini Misri imeshuhudiwa Pyramids ikitwaa taji lake la kwanza la CAF tangu kuanzishwa kwake mwaka 2008.
Mshambuliaji wa Kimataifa wa DR Congo, Fiston Mayele ameibuka mfungaji bora wa mashindano hayo kwa kufunga jumla ya mabao sita akimpita wa Al Ahly, Emmam Ashour mwenye mabao matano.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news