Rais Dkt.Mwinyi ajumuika na wananchi katika sala Msikiti wa Miembeni

ZANZIBAR-Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameungana na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Ijumaa pamoja na Sala ya Jeneza ya marehemu Abdallah Ali Mfaume (kaka wa Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar), iliyoswaliwa katika Msikiti wa Miembeni leo Juni 13,2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news