DCEA yashiriki uzinduzi wa Mradi wa Focus on Youth,Not Substance

TANGA-Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeshiriki katika uzinduzi wa mradi wa "Focus on Youth, Not Substance", unaolenga kutoa elimu sahihi kwa vijana na jamii kuhusu madhara ya dawa za kulevya na namna ya kujikinga.
Mradi huo umezinduliwa Julai 1, 2025 jijini Tanga ikiwa ni sehemu ya miradi saba chini ya mpango wa Tanga Yetu na unalenga kupambana na matumizi na biashara ya dawa za kulevya kwa njia ya elimu na uhamasishaji wa tabia chanya, kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za serikali na zisizo za kiserikali Ili kuyafikia makundi mbalimbali katika jamii wakiwemo vijana, wazazi, wanafunzi na wadau wengine.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news