Magazeti leo Julai 24,2025

KLABU a Yanga SC imemtambulisha rasmi kocha kutoka Ufaransa, Romain Khalid Folz, kuwa nahodha mpya wa benchi la ufundi kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ndani na kimataifa.Folz, ambaye ni mmoja wa makocha mahiri barani Afrika ana leseni ya juu ya UEFA Pro.
Kocha huyo mwenye umri wa miaka 34, amewahi kupita katika vilabu mbalimbali vya Afrika miongoni ni Marumo Gallants na AmaZulu, aliwahi pia Kuwa kocha msaidizi wa Timu ya Taifa ya Uganda, Pyramids, pamoja na Mamelodi Sandowns.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news