MWALIMU wa Shule ya Msingi Sinya, Samwel Mlay anadaiwa kujitoa uhai kwa kujichoma moto akiwa nyumbani kwao wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, Julai 25, mwaka huu. Marehemu alikuwa akifundisha katika shule hiyo iliyopo Longido mkoani Arusha.


Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo





























