MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (UDART), Waziri Kindamba, amesema kuwa Serikali ipo kwenye hatua za awali za kuangalia uwezekano wa kuanzishwa kwa sheria maalum ya kulinda miundombinu ya usafiri wa Mwendokasi, kama ilivyo kwa miundombinu ya reli.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo



















