Magazeti leo Julai 3,2025

TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeanzisha Kampasi mpya ya TIA mkoani Tanga, ambayo inalenga kuhudumia wanafunzi kutoka Kanda ya Kaskazini.
Kampasi hiyo inatajwa kuwa chachu ya kuongeza udahili wa wanafunzi kutokana na ongezeko la wahitimu katika maeneo hayo.

Akizungumza katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere, Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof. William Palangyo, ameeleza kuwa hatua hiyo inalenga kuongeza wigo wa elimu na kukidhi mahitaji ya soko la ajira linalobadilika kwa kasi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news