DAR-Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imewahakikishia Watanzania na wawekezaji kuwa masoko ya mitaji na dhamana nchini ni salama, hivyo wanapaswa kuyatumia kuwekeza katika sekta mbalimbali.

Afisa Uhusiano na Elimu kwa Umma wa CMSA, Stella Anastazi, amesema Mamlaka hiyo imeweka mazingira bora ya usimamizi ili kulinda mitaji ya wawekezaji na kuhakikisha masoko hayo yanatimiza lengo lake la msingi.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo