Wataalamu wa BoT waendelea kutoa elimu kwa wananchi maonesho ya Sabasaba

DAR-Wataalamu kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wanaendelea kutoa elimu kwa wananchi mbalimbali wanaotembelea banda la BoT katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Sabasaba, yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
Elimu hiyo inalenga kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu majukumu ya Benki Kuu na kuwahamasisha kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo ya kiuchumi kupitia mifumo rasmi ya kifedha.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news