Simba SC yaachana na Fabrice Luamba Ngoma

DAR-Klabu ya Simba SC imethibitisha kuachana na kiungo Fabrice Luamba Ngoma raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia baada ya kumalizika kwa mkataba wake,hivyo hatakuwa sehemu ya kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa 2025/2026.
Ngoma mwenye umri wa miaka 31 alijiunga na kikosi cha Simba Sc mnamo Julai,mwaka 2023 kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Al Hilal ya Sudan.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news