Yaliyojiri Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) kupitia Jarida la PPAA Bulletin toleo namba tano

MPENDWA msomaji wa Jarida hili la "PPAA Bulletin"karibu tena ujisomee toleo la tano (05) la Jarida la Mtandaoni kutoka Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA).

Jarida hili hutumika kama njia mojawapo ya Mawasiliano ya Kimkakati ya PPAA katika kuuhabarisha umma kuhusu majukumu na shughuli zilizotekelezwa kwa kipindi cha miezi mitatu. 

Jarida hili ni muendelezo wa majarida mengine yaliyopita yanayokuhabarisha kuhusu shughuli za PPAA kwa kipindi cha miezi mitatu.ENDELELEA;

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news