Magazeti leo Agosti 10,2025

CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimedhamiria kuleta mapinduzi kwenye sekta ya kilimo baada ya kubuni mashine mbalimbali za uchakataji mazao ya kilimo kwa lengo la kutatua changamoto zinazowakabili wakulima.
Miongoni mwa mashine hizo ambazo zimebuniwa na wanafunzi wa chuo hicho ya kukamua asali na aplikesheni mbalimbali ikiwemo ya mbogaboga ambayo ipo kwenye hatua za ukamilishaji na itakapokamilika itamrahisishia mkulima kupata taarifa mbalimbali za masoko.

Naibu Mkuu wa chuo hicho anayesimamia masuala ya Fedha, Mipango na Utawala, Zainab Mshana ameeleza hayo kwenye Sherehe za Kilele cha Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi zilizofanyika Viwanja vya Nanenane, Nzuguni mkoani Dodoma leo Agosti 8, 2025.








Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news