Magazeti leo Agosti 26,2025

Mkurugenzi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), CPA (T) Moremi Marwa, amesema katika mwaka wa fedha 2025/2026 Serikali kupitia shirika hilo imepanga kujenga zaidi ya minara 1,400 ya mawasiliano nchini, ikianza na minara 600 mwaka huu, na mingine 850 kufuata mwaka 2026/2027.
CPA Marwa ameyasema hayo Agosti 24, 2025, katika banda la TTCL kwenye Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma (CEOs Forum 2025) kinachoendelea katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha AICC jijini Arusha, kilichofunguliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdori Mpango.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news