RC Sendiga aipongeza BoT maonesho ya Nanenane Arusha

ARUSHA-Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mheshimiwa Queen Sendiga ametembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) tawi la Arusha katika Maonesho ya Wakulima ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya Nanenane, Njiro.
Katika ziara hiyo,Mhe.Sendiga ameipongeza Benki Kuu kwa jitihada inazofanya katika kutoa elimu kwa wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya kifedha.
Aidha, amesisitiza kuwa, elimu hiyo ni muhimu kwa wananchi kwani inawawezesha kufanya maamuzi sahihi ya kifedha na kushiriki kikamilifu katika kukuza uchumi wa taifa.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news