VIDEO:Uongozi unaoacha alama Zanzibar


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameendelea kuwa kiongozi mnyenyekevu na msikivu, hali inayoendelea kufanya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nane Zanzibar kuendelea kuacha alama kila sekta.
Dkt.Mwinyi amefanikisha mageuzi ya msingi katika sekta mbalimbali Zanzibar, ambayo yameleta majawabu ya changamoto na kero ambazo zilikuwa zinawakabili wananchi huko nyuma, mafanikio haya yanatokana na kujiwekea utaratibu mahususi wa kusikiliza matatizo ya wananchi moja kwa moja kisha kuyapatia ufumbuzi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news