BoT yawapa wanafunzi elimu ya fedha,usalama wa noti na uchumi Geita

GEITA-Wanafunzi kutoka shule mbalimbali mkoani Geita wametembelea banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika Maonesho ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea katika viwanja vya Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Ziara hiyo ililenga kuwapa fursa ya kupata elimu ya kifedha, utambuzi wa alama za usalama katika noti, utunzaji sahihi wa noti hizo pamoja na nafasi ya Benki Kuu katika kusimamia uchumi wa nchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news