Magazeti leo Septemba 27,2025

RAIS wa Marekani, Donald Trump ametangaza ushuru mpya kwa bidhaa mbalimbali zinazoagizwa kutoka nje, ikiwemo dawa na malori makubwa ya mizigo.
Ushuru huo unatarajiwa kupanda hadi asilimia 100 kwa baadhi ya dawa, huku malori makubwa yakitozwa ushuru wa asilimia 25 na vifaa vya jikoni na bafuni vikiongezwa ushuru wa asilimia 50.
.
Hatua hiyo inalenga kulinda masoko ya ndani na kuhamasisha uwekezaji katika viwanda vya Marekani. Kupitia ukurasa wake wa Truth Social,

Rais Trump alisema bidhaa nyingi kutoka nje zimekuwa zikiuzwa kwa bei nafuu kiasi cha kushusha thamani ya bidhaa za ndani. Hata hivyo, wafanyabiashara nchini humo wamepinga uamuzi huo na kuitaka Ikulu kusitisha ongezeko la ushuru

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news