Kwa nini Dkt.Samia ni shujaa mashuhuri wa Afrika na Dunia?Angalia alivyotikisa Mabaraza ya Kimataifa

Na Derek Kaitira MURUSURI
Kinondoni, Dar es Salaam
Sepetemba 30,2025

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan si tu kiongozi wa Tanzania; bali amejidhihirisha kuwa Kinara wa Mabadiliko na shujaa mashuhuri mwenye ushawishi mkubwa barani Afrika na duniani kote.

Akiwa Rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania, mafanikio yake katika nyanja za siasa, uchumi, diplomasia, na maendeleo ya kijamii yanaweka rekodi za kihistoria ambazo zinathibitisha nafasi yake katika orodha ya viongozi wenye mvuto mkubwa duniani.

Uongozi wake umetajwa kuwa mfano wa jinsi nchi inaweza kurejesha utulivu wa kisiasa na kuyatumia hayo kama daraja la kufikia ukombozi wa kiuchumi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news