Magazeti leo Oktoba 1,2025

Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi nchini (PSPTB) imefanya tathmini ya bajeti na kuweka mikakati mipya ya kuboresha utendaji kazi kwa mwaka wa fedha 2025/2026, lengo likiwa kuongeza ufanisi katika sekta ya ununuzi na ugavi.
Akizungumza katika kikao kazi cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika mkoani Morogoro, Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB, Bw. Godfred Mbanyi, amesema kikao hicho kimekuwa fursa ya kupitia utekelezaji wa malengo ya mwaka uliopita na kupanga mikakati mipya ya kufanikisha malengo ya mwaka ujao.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news