Magazeti leo Septemba 10,2025

ZAIDI ya watu 50 wameuawa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) baada ya kushambuliwa kwa mapanga na waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF), linaloungwa mkono na kundi linalojiita Dola la Kiislamu (Islamic State), wakati wa mazishi katika kijiji cha Ntoyo, wilayani Lubero.
Afisa wa serikali katika eneo hilo, Macaire Sivikunula, alisema shambulio hilo lilitokea usiku wa kuamkia juzi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news