Magazeti leo Septemba 19,2025

Klabu ya soka ya Tabora United inayoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara imeuzwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sasa itajulikana kama TRA United Sports Club.
Klabu hiyo yenye maskani yake mkoani Tabora, baada ya kuuzwa itahamishwa jijini Dar es Salaam kuongeza idadi ya timu za jiji hilo kwenye Ligi Kuu kuwa tano ikiungana na Simba SC, Yanga SC, KMC FC na JKT Tanzania.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news