Magazeti leo Septemba 25,2025

MKUU wa Wilaya ya Ukerewe,Christopher Ngubiagai, amesisitiza kwamba ulinzi wa taifa ni jukumu la kila Mtanzania, huku akiwahimiza vijana kushiriki kikamilifu katika jeshi la akiba ili kuimarisha amani na utulivu ndani ya jamii.
Ngubiagai ametoa kauli hiyo alipokuwa akifunga mafunzo ya jeshi la akiba yaliyojumuisha kata za Namilembe, Kakukuru na Ilangara ambapo askari 72 wamehitimu mafunzo hayo yaliyohitimishwa leo katika kijiji cha Nakamwa kata ya Namilembe wilayani Ukerewe.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news