Magazeti leo Septemba 28,2025

SARA Jane Moore ambaye alimfyatulia risasi Rais wa 38 wa Marekani Gerald Ford katika jaribio la kumuua nje ya Hoteli ya San Francisco mwaka 1975 amefariki dunia.
Bi.Moore ambaye alihukumiwa kifungo cha maisha jela, lakini akaachiliwa kwa msamaha katika miaka yake ya mwisho, alikuwa na umri wa miaka 95.

Mama huyo wa watoto wanne kutoka California alikiri hatia na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela.Alitumikia jela miaka 32 kabla ya kuachiliwa kwa msamaha.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news