Selfie ya upendo wa Dkt.Mwinyi kwa wananchi Pemba

PEMBA-Wananchi kisiwani Pemba wameonesha mapokezi makubwa kwa Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni za chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba,2025 kisiwani humo.
Maelfu ya wananchi wamejitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Gombani ya Kale, Wilaya ya Chake Chake, Mkoa wa Kusini Pemba huku wakionesha furaha na matumaini yao kwa Dkt.Mwinyi, wakisisitiza kuwa, Oktoba wanatiki kwa Dkt.Mwinyi ili kukoleza kasi ya maendeleo kote Zanzibar.

#UongoziUnaoachaAlama.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news