Taifa Stars yatoshana nguvu na Congo Brazzaville

NA DIRAMAKINI

SELEMANI Mwalimu wa Taifa Stars amepindua meza ya matokeo dakika ya 84 ya kipindi cha pili katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026.
Ni dhidi ya Congo Brazzaville ambao umepigwa leo Septemba 5,2025 katika dimba la The Alphonse Massemba-Débat Stadium mjini Brazzaville.

Wenyeji Congo Brazzaville walikuwa wa kwanza kupata bao dakika ya 68 kupitia mfungaji Dechan Moussavou.

Kwa matokeo hayo,Taifa Stars inaendelea kushika nafasi ya pili kwenye Kundi E ikiwa na alama 10 kwa michezo sita, nyuma ya vinara Morocco wenye alama 18 kwa michezo sita.

Congo Brazzaville yenyewe inashika nafasi ya tano ikiwa na alama moja kwa michezo sita, baada ya kupoteza michezo yote mitano ya mwanzo.

Group E

Rank
Club
Matches played
Wins
Draws
Losses
Points
Goals scored
Goals against
Goal difference
Last 5 matches
1
Morocco
2-0
6
6
0
0
18
16
2
14
Win
Win
Win
Win
Win
2
Tanzania
6
3
1
2
10
6
5
1
Loss
Win
Win
Loss
Draw
3
Zambia
5
2
0
3
6
9
7
2
Win
Loss
Loss
Loss
Win
4
Niger
0-2
5
2
0
3
6
6
6
0
Loss
Win
Win
Loss
Not played
5
Congo
6
0
1
5
1
3
20
-17
Loss
Loss
Loss
Loss
Draw
6
Eritrea
0
0
0
0
0
0
0
0
Not played
Not played
Not played
Not played
Not played

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news