Upendo wa wananchi kwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi kisiwani Pemba


Mfanyabiashara wa Soko la Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba akijipiga SELFIE na Mgombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya CCM, Dk.Hussein Ali Mwinyi alipotembelea sokoni hapo kuzungumza na Wafanyabiashara na wajasiriamali leo Septemba 24, 2025.

Katika kipindi cha miaka mitano ya uongozi wa Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi amefanikisha mambo mengi Zanzibar ikiwemo;

■Kujenga taasisi imara

■Kukuza amani na mshikamano

■Kupambana na rushwa

■Kukuza uchumi kwa njia bunifu

■Kujenga misingi ya utawala bora

Kwa miaka mitano ijayo, uongozi unaoacha alama unakwenda kufanya zaidi kwa ustawi bora wa wananchi na Zanzibar kwa ujumla. Oktoba kura ya mapema kwa Dkt.Mwinyi

#HAM25 
#UongoziUnaoachaAlama
#MitanoTENA
#CHAGUADK.MWINYI

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news