Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango (NPC), Dkt. Fred Msemwa na Mkurugenzi wa Idara ya Mipango ya Kitaifa wa Tume hiyo, Bi. Angela Shayo, wakifuatilia Mkutano wa Mawaziri wa Fedha wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Finance Ministers Meeting - CFMM) uliofanyika pembezoni mwa Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia (WB), inayoendelea jijini Washington D.C, Marekani.Dkt.Msemwa ashiriki Mkutano wa Mawaziri wa Fedha wa Jumuiya ya Madola kando ya mikutano ya Benki ya Dunia na IMF jijini Washington
Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango (NPC), Dkt. Fred Msemwa na Mkurugenzi wa Idara ya Mipango ya Kitaifa wa Tume hiyo, Bi. Angela Shayo, wakifuatilia Mkutano wa Mawaziri wa Fedha wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Finance Ministers Meeting - CFMM) uliofanyika pembezoni mwa Mikutano ya Mwaka ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia (WB), inayoendelea jijini Washington D.C, Marekani.