Kulwa Biteko apiga kura Ludete,awaomba wananchi kujitokeza kutimiza haki yao

GEITA-Aliyekuwa Mtia nia wa Ubunge wa Jimbo la Katoro Wilaya ya Geita, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Muambata wa Ubalozi katika kitengo cha fedha nchini Uganda, Kulwa Biteko amejitokeza kupiga kura leo Oktoba 29, 2025 katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Biteko amepiga kura katika Kituo cha Machinjioni, Kata ya Ludete, Jimbo la Katoro, Mkoa wa Geita.
Biteko amewahimiza wananchi wa Katoro, Busanda na Mkoa wa Geita kwa ujumla kujitokeza kwa wingi kutimiza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news