Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) imezidi kuimarisha ushirikiano wake kimataifa katika teknolojia ya anga na satelaiti ikiwa ni sehemu ya mikakati yakutekeleza agizo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, la kuzindua satelaiti yake ya kwanza ifikapo Agosti 01, 2026.
Katika sehemu ya mashirikiano hayo, DIT imetembelewa na Mkuu wa Chuo Kikuu mashuhuri nchini Urusi, cha RUDN, Prof. Oleg A. Yastrebov, tarehe 07 Oktoba 2025 ambaye pamoja na mambo mengine ameipongeza DIT kwa udhubutu wake katika teknolojia ya Anga na Satelaiti na kuahidi ushirikiano katika uhamishaji wa Teknolojia (Technology Transfer) baina ya Rudn na DIT.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo

.jpg)



.jpeg)








.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)




