Magazeti leo Oktoba 17,2025

Wataalam wa Maendeleo ya Jamii wana jukumu la msingi la kuhakikisha kuwa jamii inaishi katika maadili ikiwemo kuzingatia mila na desturi za kitanzania zinazofaa.
Hayo yamebainishwa na Naibu Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felister Mdemu alipotembelea Chuo cha Maendeleo ya Jamii-Ruaha tarehe 16 Oktoba, 2025 mkoani Iringa.

Felister ameeleza kuwa nidhamu katika jamii haipo tena na wimbi la mmomonyoko wa maadili limekua kubwa kwani vijana hawana hofu ya kutumia lugha zisizofaa hadharani na kwenye mitandao ya kijamii hata kwa watu waliowazidi umri.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news