Magazeti leo Oktoba 21,2025

Watoto tisa wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji wa moyo kwa mafanikio kwenye kambi maalumu ya matibabu ya siku mbili iliyomalizika hivi karibuni katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam.
Upasuaji huo umefanywa na wataalamu wa magonjwa ya moyo kwa watoto JKCI kwa kushirikiana na wenzao kutoka Shirika la Save a Child’s Heart (SACH) la nchini Israel.

Akizungumza na waandishi wa habari Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kwa watoto, Stella Mongela alisema upasuaji huo ulifanyika kwa njia ya tundu dogo kwa kutumia mtambo wa Cathlab ambao ni maabara maalumu inayotumia mionzi kutambua na kutibu magonjwa ya moyo.





















Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news