Magazeti leo Oktoba 24,2025

Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF), limetangaza orodha ya Waamuzi na Maofisa walioteuliwa kwa ya ajili ya AFCON nchini Morocco.
Waamuzi na maofisa hao wanatakiwa kuripoti jijini Cairo yalipo Makao Makuu ya CAF kati ya Novemba 21 kwa ajili ya kambi ya maandalizi kabambe ambapo Mashindano yanaanza Desemba mwaka huu.
Katika orodha hiyo Mwamuzi mmoja pekee kutoka Burundi Pacifique Ndabihawenimana ndiye ambaye ameorodheshwa huku Tanzania ikiambulia patupu.

Kwa upande wa Mrundi Pacifique Ndabihawenimana hiyo itakuwa ni AFCON yake ya nne baada ya kuwa Mwamuzi katika mashindano ya mwaka wa 2019,2021 na 2023.










Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news