Magazeti leo Oktoba 3,2025

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Bw. Dennis Simba amesema hatua ya kuunganisha Mfumo wa NeST na mifumo ya malipo ya Serikali inayowezesha malipo ya zabuni kulipwa moja kwa moja kupitia Mfumo huo, yatasaidia kupaisha maendeleo ya Taifa.
Bw. Simba ameyasema hayo Oktoba 1, 2025 jijini Arusha, wakati wa kufunga mafunzo ya usimamizi wa mikataba ya ununuzi wa umma hadi kufanya malipo (e-payment) kupitia Mfumo wa NeST, yaliyotolewa na Mamlaka hiyo kwa watumishi wa Ofisi ya Mlipaji Mkuu wa Serikali kwa siku tatu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news