Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Bw. Dennis Simba amesema hatua ya kuunganisha Mfumo wa NeST na mifumo ya malipo ya Serikali inayowezesha malipo ya zabuni kulipwa moja kwa moja kupitia Mfumo huo, yatasaidia kupaisha maendeleo ya Taifa.
Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo




















