Magazeti leo Oktoba 9,2025

TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imesitisha Kampeni za Uchaguzi wa kiti Ubunge katika Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro, baada ya kupokea taarifa za kuuawa kwa Mgombea Ubunge wa Chama Cha Wananchi (CUF), Daud Wilbrod Ntuyehabi.
Taarifa kwa umma ya kusitisha uchaguzi wa Ubunge, Jimbo hilo, iliyotolewa na kusainiwa Oktoba 8,2025 na Msimamizi wa Uchaguzi, Jimbo la Siha, Marco Masue, inaeleza kuwa kutokana na kutokea kwa tukio hilo, Uchaguzi wa Ubunge katika Jimbo la Siha, umesitishwa kuanzia Oktoba 8,2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news