VIDEO:Bado siku 25 Tukatiki kwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi


Zingatia kuwa, siku ya Uchaguzi Mkuu, baada ya kupiga kura, hakuna mtu anayeruhusiwa kukaa kituoni, hivyo ondoka kituoni kwa utulivu na subiri matokeo rasmi ukiwa nyumbani.

Usibaki katika eneo la kupigia kura bila sababu, ili kuepusha msongamano au hali ya vurugu. Kwa pamoja tumedhamiria kumchagua tena Dkt.Hussein Ali Mwinyi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kukoleza kasi ya maendeleo Zanzibar.
KUMBUKA

✅ Piga kura kwa amani

✅ Fuata maelekezo ya maafisa wa uchaguzi

✅ Weka alama sahihi kwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi

✅ Baada ya kupiga kura, ondoka kituoni kwa utulivu

✅ Subiri matokeo kutoka tume kupitia vyombo rasmi vya habari ukiwa nyumbani

TUNASEMA:

✅Amani Kwanza

✅ChaguaHusseinAliMwinyi

✅OktobaTunatiki

✅UongoziUnaoachaAlama

✅MitanoTenakwaHusseinAliMwinyi

■Tushiriki kwa amani,tujenge taifa letu pamoja.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news