BoT yauza Dola milioni 25 kuimarisha ukwasi katika soko la fedha za kigeni

NA DIRAMAKINI

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeshiriki katika Soko la Jumla la Fedha za Kigeni (IFEM) kwa mujibu wa Sera ya Ushiriki katika Soko la Fedha za Kigeni ya mwaka 2023, ikiwa ni sehemu ya jitihada zake za kuimarisha utulivu wa masoko ya fedha.
Kupitia ushiriki huo,Benki Kuu imeuza Dola za Marekani milioni 25.00 kupitia mnada wa ushindani kwa kiwango cha wastani cha kubadilisha fedha za kigeni cha Shillingi 2,443.82 kwa Dola moja ya Marekani.

"Lengo la mnada huu lilikuwa ni kuongeza ukwasi katika soko la fedha za kigeni."

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news