Magazeti leo Novemba 27,2025

Watoto sita miongoni mwa 10 duniani kote hawajui kusoma sentensi rahisi wala kusuluhisha maswali ya kimsingi ya hesabu licha ya theluthi yao kuwa shuleni kwa sasa.
Haya ni kwa mujibu wa ripoti mpya iliyotolewa na shirika linalofahamika kama People’s Action for Learning (PAL) Network iliyotathmini matokeo ya masomo miongoni mwa watoto 89,870 wenye umri wa miaka mitano hadi 16 katika mataifa 12.

Matokeo hayo yamezua wasiwasi mkubwa kuhusu ubora wa elimu katika mataifa mengi maskini kwa kufichua kwamba kuhudhuria shule pekee sio hakikisho la masomo halisi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news