HomeBukombe Dkt.Biteko ala kiapo cha Ubunge leo Novemba 11,2025 Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko leo Novemba 11, 2025 akila kiapo cha kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu. Tags Bukombe Doto Biteko Habari Picha Picha Chaguo la Mhariri Facebook Twitter