Dkt.Mwinyi ashiriki kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika Unguja, Zanzibar leo Novemba 29,2025.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika Unguja, Zanzibar leo Novemba 29,2025.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akishiriki Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika Unguja, Zanzibar leo Novemba 29,2025.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi akishiriki Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika Unguja, Zanzibar leo Novemba 29,2025.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news