Magazeti leo Desemba 1,2025

SERIKALI ya Tanzania imewataka wakimbizi wa Burundi wanaoishi katika kambi nchini wawe tayari kurejea nchini mwao ambako imewahakikishia kurejea kwa hali ya amani na utulivu.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene alitoa msimamo huo wakati wa Mkutano wa 26 wa Pande Tatu baina ya Tanzania, Burundi na Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) uliohusu urejeshaji wakimbizi katika nchi yao ya Burundi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news