Nukuu za Hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza akifungua Baraza la Kumi na Moja la Wawakilishi Zanzibar leo tarehe 10 Novemba 2025 katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi, Chukwani Zanzibar.



















